Mambo 15 ya kufahamu kuhusu kuhamia mtandao

Mamlaka ya mawasiliano Tanzania ‘TCRA’ kwa kushirikiana na watoa huduma za simu nchini wameanzisha huduma ambayo itamuwezesha mtumiaji wa simu kuhama kutoka mtandao mmoja wa simu kwenda mwingine bila kubadili namba, huduma hiyo inatarajiwa kuanza March mosi Mwaka huu.

Leo February 23 2017 kupitia clouds 360 ya clouds TV, Kaimu Naibu Mkurugenzi maendeleo ya TEHAMA kutoka TCRA, Mhandisi Nehemia Mwenisongole amefafanua baadhi ya mambo katika zoezi la kuhama mtandao mwingine bila kubadili namba ya simu.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAID

Comments

Popular posts from this blog

STORY YA KUSISIMUA

FORM FIVE SELECTION 2016 CHECK HERE

CHOMBEZO FUPI INAITWA ««JAMANI ANKO»» ISOME HAPA