Posts

Showing posts from May 31, 2015

MILLARDAYO.COM

Image
instagram youtube twitter rss googleplus facebook Go to .. General News Amplifaya Top10 Magazeti Michezo Siasa Nyumba/Mijumba AyoTV Entertainment HekaHeka Vituko/ Comedy Mali za Mastaa Zaidi +  - Stori Kubwa  - Stori Pekee  - Stori Muhimu Home AyoTV Bio Contact Help millardayo.com Go to .. General News Amplifaya Top10 Magazeti Michezo Siasa Nyumba/Mijumba AyoTV Entertainment HekaHeka Vituko/ Comedy Mali za Mastaa Zaidi +  - Stori Kubwa  - Stori Pekee  - Stori Muhimu Home AyoTV Bio Contact Help Home   »   Michezo   »   Ushahidi wa rushwa waliyotoa South Afrika ili kupewa uenyeji wa kombe la dunia huu hapa Ushahidi wa rushwa waliyotoa South Afrika ili kupewa uenyeji wa kombe la dunia huu hapa Posted by:  Sports TZA June 2, 2015 Michezo    Kwa takribani wiki mbili sasa neno ‘rushwa’ limekuwa likiliandama sana shirikisho la soka duniani FIFA. Wiki iliyopita maafisa 10 wa shirikisho hilo walikamatwa na serikali ya Marekani

ANAEDAIWA KUMNYONGA MKE WA MTU

Image
SKENDO ZA MJINI   Home   ▼ Tuesday, June 2, 2015 ANAYEDAIWA KUMNYONGA MKE WA MTU GESTI DAR NI HUYU, POLISI WAFICHUA SIRI NZITO MAPYA tena! Yale mauaji ya mke wa mtu, Ashura Maulid yaliyotokea kwa kunyongwa gesti na mwanaume anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa kwenye mtandao wa kijamii Facebook, Charles Raphael (pichani), sasa Uwazi limepata picha yake na mengine yameibuka. Charles Raphael anayedaiwa kumnyonga mke wa mtu gesti. MTUHUMIWA WA MAUAJI Taarifa kutoka chanzo makini zimeeleza kuwa, mwanaume huyo mpaka anafikwa na tukio hilo la kudaiwa kumuua mwanamke huyo kwa kumnyonga alikuwa akijihusisha na kazi ya ubaharia kwa safari za ndani na nje ya nchi hasa Yemen ambapo alikuja nchini kuchukua vyeti vyake ili akaajiriwe rasmi nchini huko. VYANZO VYA