Posts

MOTO WA VICHAKANI ULIVYO FIKAA HADI BARABARANI

Image
STORI KUBWA Moto wa vichakani ukafika mpaka Barabarani , ona picha na video gari zilivyoteketea .. By Sadam Chande on July 18, 2015 Kama unasafiri kwenye barabara kubwa kama ya  Dar- Mbeya , au  Dar- Mwanza  au barabara yoyote kubwa ya magari njiani kuna vibao vya tahadhari kwamba usiwashe moto.. ule moto athari yake sio kwenye misitu pekeake, noma inaweza kuhamia hata barabarani !! July 17 2015 barabara kuu ya California-Las Vegas Marekani wameshuhudia hili tukio, moto ulikuwa unawaka tu vichakani.. upepo mkali ukausukuma ule moto mpaka barabarani.. kulikuwa na magari ambayo hayakupona kabisa, yameshika moto na kuishia hapohapo japo watu wa Zimamoto walijitahidi kuzima kwa kisasa kabisa kutumia Helicopter lakini sio gari zote zilizopona. Madereva wa magari na watu waliowabeba wakaona hili sasa balaa, ikabidi wayaache magari na kukimbia.. kilichotishia watu sio moto pekeake, kulikuwa na milio ya milipuko mikubwa ambayo ilitokana na matairi ya gari kupasuka. Zaidi

JINSI ALIVYOZIKWA BANZA STONE

Image
STORI KUBWA Banza Stone alivyozikwa Dar es salaam July 18 2015 ! #RIP By: sadam chande  Jana tuliipata taarifa ya kushtua, ilikuwa msiba wa Mwanamuziki ambae kwa Tanzania alikuwa Legend kwenye muziki wa Dansi,  Ramadhan Masanja  aka Banza Stone… Sauti yake iliwahi kusikika kwenye bendi chache ikiwemo hizi mbili kubwa za Tanzania,  African Stars ‘ Twanga Pepeta ‘ na  TOT Plus  iliyokuwa inaongozwa na Marehemu Kapteni  John Komba . Leo watu wengi wamekusanyika nyumbani kwao Sinza, kwa ajili ya kumuaga na kumsindikiza  Banza Stone kwenye safari yake ya mwisho duniani. Mazishi yamefanyika kwenye Makaburi ya Sinza Dar es Salaam. Juma Nature ,  M2theP   na  Steve Nyerere wakiwa msibani Swebe  pamoja na Wasanii wengine wakiwa msibani. Jose Mara  wa FM Academia na watu wengine msibani Sinza. Njiani kuelekea makaburini Watu wakiwa wamejipanga barabarani Sinza kwa ajili ya kupokea Jeneza kuelekea Makaburini. Wakati wa Mazishi. Ali Choki  akiwa msibani, waliwahi

WASHINDI WA MTV MAMA AWARDS 2015

Image
ENTERTAINMENT Washindi wa MTV Mama awards 2015, wako hapa wote 17 akiwemo na Diamond Platnumz By: sablood Yako majina mawili yaliyoiwakilisha Tanzania kwenye Category 13 za  MTV Africa Music Awards 2015 ,  Diamond Platnumz  na  Vanessa Mdee   ‘ Vee Money’ … kura zimepigwa na leo ndio ilikuwa fainali yenyewe ndani ya Durban South Africa ukumbi wa  Durban International Convention Centre . Tanzania imetoka kifua mbele pia kwa mara nyingine,  Daimond Platnumz kafanikiwa kupata ushindi wa Tuzo ya Best Live Act , ambapo alikuwa katika Category tatu tofauti na  Vee Money alikuwa kwenye Category moja. List ya Washindi wote hii hapa.. Best Female: Yemi Alade  (Nigeria) >>>  Mshindi . Bucie (South Africa) Busiswa (South Africa) Seyi Shay (Nigeria) Vanessa Mdee (Tanzania) Best Male: Davido  (Nigeria) >>>  Mshindi AKA (South Africa) Diamond (Tanzania) Sarkodie (Ghana) Wizkid (Nigeria) Best Group: P Square  (Nigeria) >>>  Washindi . B4 (An

Pichaa za ushindi wa arsenal

ANGALIA PICHA HIZO HAPA

EID MUBARAK

EID MUBARAK      EID MUBARAK       EID MUBARAK        EID MUBARAK         EID MUBARAK          EID MUBARAK           EID MUBARAK            EID MUBARAK             EID MUBARAK              EID MUBARAK               EID MUBARAK                EID MUBARAK               EID MUBARAK              EID MUBARAK             EID MUBARAK            EID MUBARAK           EID MUBARAK          EID MUBARAK         EID MUBARAK        EID MUBARAK       EID MUBARAK      EID MUBARAK     EID MUBARAK    EID MUBARAK   EID MUBARAK EID MUBARAK EID MUBARAK EID MUBARAK EID MUBARAK   EID MUBARAK    EID MUBARAK     EID MUBARAK      EID MUBARAK       EID MUBARAK        EID MUBARAK         EID MUBARAK          EID MUBARAK           EID MUBARAK            EID MUBARAK             EID MUBARAK              EID MUBARAK               EID MUBARAK                EID MUBARAK               EID MUBARAK              EID MUBARAK             EID MUBARAK            EID MUBARAK     

Ndembo255 Projects: SOME OF ELECTRICAL AND ELECTRONICS PROJECT TITTLES...

: SOME OF ELECTRICAL AND ELECTRONICS PROJECT TITTLES... : Compared to electronic projects, electrical projects need greater power and the electrical project circuits will employ only passive element...

MILLARDAYO.COM

Image
instagram youtube twitter rss googleplus facebook Go to .. General News Amplifaya Top10 Magazeti Michezo Siasa Nyumba/Mijumba AyoTV Entertainment HekaHeka Vituko/ Comedy Mali za Mastaa Zaidi +  - Stori Kubwa  - Stori Pekee  - Stori Muhimu Home AyoTV Bio Contact Help millardayo.com Go to .. General News Amplifaya Top10 Magazeti Michezo Siasa Nyumba/Mijumba AyoTV Entertainment HekaHeka Vituko/ Comedy Mali za Mastaa Zaidi +  - Stori Kubwa  - Stori Pekee  - Stori Muhimu Home AyoTV Bio Contact Help Home   »   Michezo   »   Ushahidi wa rushwa waliyotoa South Afrika ili kupewa uenyeji wa kombe la dunia huu hapa Ushahidi wa rushwa waliyotoa South Afrika ili kupewa uenyeji wa kombe la dunia huu hapa Posted by:  Sports TZA June 2, 2015 Michezo    Kwa takribani wiki mbili sasa neno ‘rushwa’ limekuwa likiliandama sana shirikisho la soka duniani FIFA. Wiki iliyopita maafisa 10 wa shirikisho hilo walikamatwa na serikali ya Marekani