Posts

TAZAMA PICHA JINSI LOWASA ALIVYOPOKELEWA MBEYA..HAPA

Image
Breaking Newz: Habari kutoka Mbeya, mapokezi ya kumpokea Lowasa yamekuwa zaidi ya mafuriko. Airport kumefurika watu hakuna hata sehemu ya wazi. Watu wamekodi mabasi toka Songea, Njombe, Tunduma, Makambako na Iringa. Watu ni wengi sana hakufai, chanzo cha taarifa kinasema yawezekana hata watu walioandamana au msindikiza Lowasa kuchukua form walikua wachache. Kwa sasa inasemekana hata huo uwanja usitoshe mana ni Mafuriko infact Lowasa ni shida alisema mtoa taarifa

MAGAZETI YA TANZANIA AGOSTI 14,2015

Image
MAGAZETI Magazeti ya Tanzania Agosti 14, 2015.. Udaku , michezo na hardnews ! By Edwin TZA on August 14, 2015 259SHARES COMMENTS . Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa  Agosti 14,2015  tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko hapa . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . AYO TV:CHADEMA wameongea tena, wamesaini na mkataba Nitakutumia stori zote ukibonyeza hapa  >>>  Twitter   Insta   FB   na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau   kusubscribe  YouTube  kwa kubonyeza   hapa  >>> Videos   ili kila video ya  AyoTV   ikufi kie RELATED ITEMS COMMENTS ← PREVIOUS STORY Waliopitishwa Ubunge CCM , Dk . Mwakyembe kuhusu Mishahara ? Kimbunga cha wanaohama CCM .. (Audio